Athari ya sumu ya madini ya risasi kwenye rangi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-09 21:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Licha ya kupigwa marufuku katika nchi nyingi, madini ya risasi bado yanaendelea kupatikana kwenye baadhi ya rangi zinazouzwa sokoni. Mwishoni mwa mwezi Januari mwaka 2026, wajumbe wa serikali kutoka nchi 25 za Afrika walikutana jijini Nairobi, Kenya, katika mkutano wa siku mbili uliojadili hatari na kuendeleza juhudi za kudhibiti matumizi ya madini ya risasi hasa kwenye rangi na bidhaa nyingine.
--------------------------------------------------------------------