Lissu afikishwa tena Mahakamani, Dar es Salaam
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-09 22:13 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kesi hiyo inasilizwa huku wafuasi na wanachama wa Chadema, wakihimiza kuachiwa kwa kiongozi wao. Shangwe na nderemo zimeibuka leo katika Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es Salaam mara baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu kuingia mahakama baada ya kesi yake ya uhaini kusimama kwa zaidi ya siku 88.
--------------------------------------------------------------------