Wahamiaji 53 hawajulikani walipo baada ya meli kuzama Libya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-10 02:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala a uhamiaji IOM Jumatatu limesema watu 53 wamekufa au hawajulikani walipo baada ya meli kuzama katika bahari ya Mediterania karibu na pwani ya Libya.
--------------------------------------------------------------------