Je, makubaliano kati ya Israel na Lebanon mashakani?

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2025-12-19 03:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwisho wa juma lililopita, jeshi la Israel lilitoa onyo kwa raia wanaoishi kusini mwa Lebanon, likisema litashambulia miundombinu inayodaiwa kumilikiwa na Hezbollah katika mji wa Yanouh. Israel iliwataka wakazi wa eneo hilo kuhama mara moja kwa ajili ya usalama wao.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]