Iran: Tunaweza kupunguza urani iliyorutubishwa kwa masharti
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-10 14:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wanadiplomasia wa Marekani na Iran walifanya mazungumzo kupitia wapatanishi wa Oman wiki iliyopita katika juhudi za kufufua mazungumzo kati yao baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuweka vikosi vyake vya kijeshi vya majini katika eneo hilo na kuzua hofu ya kufanyika kwa mashambulizi ya kijeshi siku chache zilizopita.
--------------------------------------------------------------------