Umoja wa Afrika watoa wito wa kusitishwa vita nchini DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-10 23:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwenye taarifa iliyotolewa jana jioni, mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na rais wa Angola, Joao Lorenco amesema amezitolea wito pande zinazovutana kwenye mzozo nchini humo kutangaza muda rasmi waliokubaliana wa kuanza usitishwaji wa mapigano.
--------------------------------------------------------------------