Mshirika wa Epstein Maxwell aomba msamaha kwa Trump
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 01:33 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mshirika wa mhalifu wa makosa ya ngono aliyetiwa hatiani, Jeffrey Epstein, Ghislaine Maxwell, alikataa Jumatatu kujibu maswali ya wabunge wa Marekani, lakini wakili wake alisema yuko tayari kuzungumza iwapo atapewa msamaha na Rais wa Marekani Donald Trump.
--------------------------------------------------------------------