Ulaya kupiga marufuku watoto kutumia mitandao ya kijamii
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 02:36 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez amesema makampuni ya teknolojia hayapaswi kushawishi matakwa ya serikali yake na ya nchi nyingine za Umoja wa Ulaya kuhusu kupiga marufuku matumizi ya mitandao ya kijamii kwa vijana wa chini ya mika 16.
--------------------------------------------------------------------