Wahamiaji wa Afrika wadiriki safari hatari Visiwa vya Canary

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 03:19 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mahali fulani kati ya kusini mwa Morocco na kisiwa cha Uhispania cha Teneriffa, jinamizi lilianza kwa Ismael Ouattara. Ndani ya saa 24, binti yake wa mwaka mmoja na mke wake walifariki. Wakati huo, mashua yao ilikuwa tayari imekuwa ikielea bila uwezo wa kujiendesha kwenye Bahari ya Atlantiki kwa siku kadhaa.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]