Ripoti: Kambi ya siri ya mafunzo ya RSF yajengwa Ethiopia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 04:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ethiopia inadaiwa kuweka kambi ya siri ya kutoa mafunzo kwa maelfu ya wapiganaji wa kundi la wanamgambo la Rapid Support Forces (RSF), linalopambana na jeshi rasmi la Sudan. Taarifa hiyo imebainishwa katika uchunguzi wa shirika la habari la Reuters, na kuibua maswali mapya kuhusu jinsi vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan vinavyozidi kuhusisha mataifa yenye ushawishi barani Afrika na Mashariki ya Kati.
--------------------------------------------------------------------