UN yaelezea wasiwasi mkubwa wa kiusalama Uvira
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 22:02 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akiwa ziarani nchini, Jean-Pierre Lacroix, Katibu Mkuu Msaidizi wa Umoja wa Mataifa anayesimamia operesheni za kulinda amani, amesema kwamba kupelekwa moja kwa moja kwa vikosi vya MONUSCO mjini Uvira hakutafanyika mara moja.
--------------------------------------------------------------------