Je Wasyria waliopo Ujerumani, wabakie ama warejeshwe?
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-12 01:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwaka 2025, takribani Wasyria 6,000 waliomba kurudi Syria kupitia mpango wa hiari unaofadhiliwa na Ofisi ya Shirikisho la Ujerumani ya Uhamiaji na Wakimbizi. Takwimu zinaonyesha kuwa kati ya watu 5,976 walioomba, 3,678 tayari wamerudi Syria.
--------------------------------------------------------------------