Kenya yakasirishwa raia wake kulazimishwa kupigana Ukraine
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-11 21:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema hali hiyo "haikubaliki kamwe.” Serikali inasema baadhi ya vijana wa Kenya walipewa mikataba kwa lugha ya Kirusi wasiyoielewa, wakiahidiwa kazi kama wauzaji, walinzi au mafundi, lakini walipofika Urusi, walipelekwa moja kwa moja kwenye mafunzo ya kijeshi na kisha mstari wa mbele wa vita nchini Ukraine.
--------------------------------------------------------------------