Upinzani wazidi mkataba wa madini wa Kongo-Marekani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-12 03:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Upinzani dhidi ya mpango wa kuruhusu kampuni za Marekani kupata madini muhimu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaongezeka, baada ya Rais Felix Tshisekedi kurejea kutoka mkutano wa madini uliofanyika Marekani wiki iliyopita.
--------------------------------------------------------------------