Raia wa Bangladesh wapiga kura tangu vuguvugu la 2024
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-12 23:09 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Usalama umeimarishwa kote nchini humo wakati uchaguzi huo pamoja na kura ya maoni kuhusu mageuzi ya katiba vikiendelea, ambapo vikosi vya usalama zaidi ya 900,000 vikiwa vimesambazwa.
--------------------------------------------------------------------