Je, ODM inagawanyika? Taswira mpya ya mgogoro wa uongozi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-13 02:32 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mgogoro unaotikisa chama cha ODM nchini Kenya umechukua sura mpya baada ya uamuzi wa Baraza la Kitaifa kumwondoa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna katika wadhifa wa Katibu Mkuu.
--------------------------------------------------------------------