WhatsApp yasema Urusi inajaribu kuizuia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-13 01:37 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Technology & AI, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Urusi imejaribu kuizuia WhatsApp inayomilikiwa na kampuni ya Meta Platforms nchini humo, kampuni hiyo ilisema Jumatano, wakati Moscow ikiimarisha udhibiti wake dhidi ya kampuni za teknolojia za kigeni na kukuza jukwaa lake la kitaifa la huduma ya ujumbe.
--------------------------------------------------------------------