Angola yapendekeza usitishwaji mpya wa mapigano nchini DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-13 03:00 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Angola imeanzisha tena jitihada za upatanishi katika wiki za karibuni na kutangaza pendekezo lake la kusitisha mapigano usiku wa kuamkia leo, baada ya wiki iliyopita kutangaza kwamba Umoja wa Mataifa hivi karibuni utapeleka walinda amani mashariki mwa Kongo, kusaidia kutekeleza usitishwaji huo wa vita.
--------------------------------------------------------------------