Ramaphosa ataka uhalifu kushughulikiwa kikamilifu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-14 00:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika hotuba yake kwa Taifa, maarufu kama SONA 2026, Rais Cyril Ramaphosa alisisitiza kuwa serikali haitavumilia uhalifu unaovuruga uchumi na kuhatarisha maisha ya raia. Aliahidi kuwa operesheni maalum zitafanyika kulenga makundi yanayojihusisha na uchimbaji haramu wa madini, maarufu kama zama zama:
--------------------------------------------------------------------