Zanzibar: Mahakama Kuu yakataa maombi ya ACT Wazalendo

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-14 06:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Maombi hayo yaliyowasilishwa hivi karibuni na wagombea wa uwakilishi kutoka majimbo 17 ya Unguja na Pemba kupitia chama cha ACT Wazalendo yaliyolenga kuizuia ZEC kuharibu nyaraka hizo, wakati wakiendelea na kesi za kupinga matokeo yaliyotangazwa kwenye uchaguzi huo wenye utata.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]