CAF: Michuano ya AFCON 2027 itafanyika kama ilivyopangwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-14 02:43 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Motsepe amesema hayo alipozungumza baada ya mkutano na kamati kuu ya CAF na kuongeza kuwa michuano hiyo itacheza mwezi Juni na Julai na shirikisho litatangaza tarehe ya kuanza hivi karibuni.
--------------------------------------------------------------------