Wapinzani wajitokeza kumng'oa madarakani Sassou Nguesso
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-15 02:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Uongozi wa zaidi ya miongo minne wa Sassou Nguesso katika nchi hiyo iliyo tajiri kwa mafuta, unamuweka kuwa moja ya viongozi waliosalia kwa muda mrefu zaidi madarakani, baada ya Paul Biya wa Cameroon, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1982 na mwenzao wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, aliyechukua madaraka kupitia mapinduzi mwaka 1979.
--------------------------------------------------------------------