Abbas ahimiza kuondolewa vizingiti vya Israel kuhusu Gaza

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-15 02:20 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza kwa niaba ya kiongozi huyo katika mkutano wa kilele wa 39 wa Umoja wa Afrika, Waziri Mkuu wa Palestina Mohammed Mustafa amesema kuondolewa kwa vizingiti hivyo kunahitajika ili kuhakikisha huduma muhimu zinaendelea kutolewa, kuratibu misaada ya kiutu na kuhakikisha waathirika wanapokea matibabu.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]