Ukraine yashambulia pwani ya Bahari Nyeusi ya Urusi
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-15 22:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ujumbe kwenye mtandao wa Telegram, gavana wa eneo lililoathiriwa la Krasnodar, Veniamin Kondratyev, amesema watu wawili walijeruhiwa na kwamba tanki iliyokuwa na bidhaa za mafuta kwenye bandari ya kupakia mafuta ya rasi ya Taman pia ililengwa. Mara kwa mara, kituo hicho karibu na Crimea, ambacho Urusi iliiteka mwaka 2014, kimekuwa kikilengwa kwenye mashambulizi ya Ukraine.
--------------------------------------------------------------------