China yasema inataka uhusiano wa ngazi mpya na Ujerumani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-15 22:35 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, Germany, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kwa mujibu wa taarifa ya wizara ya mambo ya nje ya China, Wang pia amemwambia Merz kwamba China inatarajia kufanya kazi na Ujerumani kuleta "ushirikiano wa kimkakati wa pande zote".
--------------------------------------------------------------------