UN: Watu 6000 waliuawa ndani ya siku 3 el- Fasher
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-15 22:26 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika ripoti yake ya kurasa 29 iliyotolewa siku ya Ijumaa, Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja huo, imesema mashambulizi ya RSF ya kuuteka mji wa el-Fasher yalijumuisha ukatili mkubwa unaofikia kiwango cha uhalifu wa kivita ana uwezekano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu.
--------------------------------------------------------------------