Indonesia yasema wanajeshi 8000 wako tayari kupelekwa Gaza
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-16 01:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Kikosi cha jeshi la taifa la Indonesia, linalojulikana na kama TNI, kimekamilisha maandalizi ya vikosi vilivyopendekezwa pamoja na ratiba ya harakati zao kwenda Gaza ingawa bado serikali haijaamua ni lini wanajeshi hao watapelekwa. Haya ni kwa mujibu wa msemaji wa jeshi Brigedia Jenerali Donny Pramono.
--------------------------------------------------------------------