Mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuendelea nchini Uswisi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-16 14:12 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mazungumzo hayo, Marekani itawakilishwa na mjumbe wa rais Donald Trump Steve Witkoff na mkwewe Jared Kushner. Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, majadiliano hayo "yasiyo ya moja kwa moja" yatafanyika siku ya Jumanne chini ya upatanishi wa Oman, na suala kuu litakalojadiliwa ni mpango wa nyuklia wa Iran.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]