Tanzania: Serikali inaendelea na juhudi za kulinda amani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 00:47 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Akizungumza katika mkutano na vyombo vya Habari kuhusu ziara za kikazi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Waziri wa mambo ya nje, Mohamed Thabit Kombo amesema Rais Samia amezungumzia changamoto ya vurugu za Oktoba 29 wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania zilizoikumba Tanzania na jitihada zinazofanywa na nchi.
--------------------------------------------------------------------