Hali bado tete mwaka 1 baada ya M23 kuidhibiti Bukavu
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 01:07 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Bukavu ni mji wa kibiashara ambao awaliziunganisha Kongo, Rwanda na Burundi, lakini sasa wakazi wa mji huo wanakabiliwa na ngumu ya kiuchumi. Muda mfupi kabla ya AFC.M23 kuuteka, uporaji ulishuhudiwa katika mji huo. watu waliomilikisilaha walipora masoko, maduka na maghala na baadae watoto wa maaskari wa jeshi la Kongo wamechukua silaha zilizoachwa na wazazi wao wakisema wanataka kuilinda nchi yao.
--------------------------------------------------------------------