Njia hatari zatumika na wahamiaji haramu kufika Ulaya
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 03:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ismael Ouattara anakumbuka juu ya maafa yaliyotokea kwenye safari yake katika eneo fulani la kusini mwa Moroko na kisiwa cha Tenerife cha Uhispania. Ameeleza kuwa ndani ya saa 24, binti yake wa mwaka mmoja na mkewe walifariki. Boti yao kwa siku kadhaa ilikuwa haiwezi kuelea vyema katika Bahari ya Atlantiki.
--------------------------------------------------------------------