Kenya: Ni haramu kutumia magenge ya uhalifu kisiasa

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 03:49 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri Kipchumba Murkomen ameibua wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa vijana katika mitandao ya uhalifu, hasa katika maeneo ya mijini na makazi yenye msongamano mkubwa wa watu. Ametaja hasa kuibuka kwa kundi linalojulikana kama "Team Mbogi”, lililoanza kujitokeza mwaka 2025 na ambalo limekuwa likifanya shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya Nairobi, Kenya.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]