Awamu ya pili ya kuwapokonya silaha Hezbollah kucheleweshwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 14:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mwaka 2025, serikali ya Lebanon ilianzisha mpango wa kuipokonya silaha Hezbollah, ambayo wakati huo ilikuwa imedhoofika mno kufuatia vita vyake na Israel, na jeshi ndilo lilipewa jukumu la kutekeleza mpango huo.
--------------------------------------------------------------------