Iran na Marekani kuzungumza, mivutano yashuhudiwa
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 14:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Wajumbe wa Marekani na Iran wanatarajiwa leo kukutana nchini Uswisi kwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Waziri wa mambo ya nje wa Iran Abbas Araghchi amewasili Geneva kuhudhuria duru hii mpya ya mazungumzo baada ya duru ya kwanza kufanyika mjini Muscat nchini Oman.
--------------------------------------------------------------------