Mazungumzo ya Ukraine na Urusi kuanza mjini Geneva
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 21:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mazungumzo ya siku mbili kati ya Ukraine na Urusi yakisimamiwa na Marekani yanaanza leo mjini Geneva, lakini Ukraine tayari imesema Urusi inahujumu juhudi za kutafuta amani kwa kuanzisha mashambulio ya makombora na droni kabla ya mazungumzo hayo.
--------------------------------------------------------------------