Urusi na Ukraine kuanza mazungumzo ya kumaliza vita

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 22:08 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema wanacholenga ni kuzungumzia kwa upana masuala kadhaa ikiwa ni pamoja na yale yaliyo muhimu zaidi. Kwenye mazungumzo hayo, vipengele vinavyogusa zaidi pande zote mbili ni pamoja na uhalali wa maeneo na kila kitu kingine kinachohusiana na masharti ambayo Urusi imekwishayatoa, aliongeza Peskov alipozungumza na waandishi wa habari siku ya Jumatatu.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]