Hillary Clinton kutoa ushahidi sakata la Epstein

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 22:29 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje nchini Marekani Hillary Clinton ameonesha kutilia mkazo msimamo wake kuhusu sakata la mtuhumiwa wa unyanyasaji wa kingono, Jefrey Epstein, akidai watu wote waliotakiwa kutoa ushahidi , akiwemo Andrew, mwanawe hayati malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, wanapaswa kufika mbele ya kamati ya bunge inayochunguza kadhia hiyo.Mshirika wa Epstein Maxwell aomba msamaha kwa Trump kabla ya kutoa ushahidi
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]