Wanajeshi 100 wa Marekani wawasili Nigeria
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-17 21:17 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria Meja Jenerali Samaila Uba amesema vikosi vya Marekani vilivyowasili nchini humo vitasaidia kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Nigeria lakini havitashiriki katika makabiliano ya moja kwa moja na makundi yanayolengwa katika mapambano hayo.
--------------------------------------------------------------------