Safu ya Uongozi CUF yaenguliwa, akiwemo Lipumba
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 02:05 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Katika mkutano na wanahabari ambao hata hivyo ulikatishwa kutokana na vurugu zilizoibuka katika ofisi za chama hicho, Buguruni, Naibu Katibu Mkuu wa CUF–Bara, Magdalena Sakaya, amesema hawakubaliani na uamuzi huo na tayari wameamua kwenda mahakamani.
--------------------------------------------------------------------