Macron na Modi wafanya mazungumzo New Delhi

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 02:42 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, India, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya mazungumzo na waziri mkuu wa India Narendra Modi yaliyolenga kuimarisha mahusiano ya kiuchumi na kimkakati, wakati mataifa hayo mawili yakitafuta ushirikiano wa karibu zaidi kufuatia hali ya mashaka inayoikabili dunia pamoja na kubadilika kwa mirengo ya siasa za kikanda.
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]