Mamlaka za Gabon zasitisha mitandao ya kijamii

--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 14:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hatua hiyo ilitangazwa kwenye televisheni ya taifa na msemaji wa Mamlaka Kuu ya Mawasiliano nchini humo Jean-Claude Mendome aliyesisitiza kuwa "maudhui yasiyofaa, ya kashfa, ya chuki, na ya matusi" yalikuwa yakidhoofisha "utu, maadili ya umma, heshima ya raia, mshikamano wa kijamii, utulivu wa taasisi za Jamhuri na usalama wa taifa la Gabon."
--------------------------------------------------------------------
>>> Read full article at Deutsche Welle <<<
<-- Back to Home
< >
[Close]