Mazungumzo ya Urusi na Ukraine kuendelea Jumatano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 14:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Ukraine/Russia
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Siku ya kwanza ya mazungumzo hayo ya amani yanayosimamiwa na Marekani ilifanyika kwa saa sita lakini hakukuwepo na dalili zozote zinazoashiria kufikiwa kwa makubaliano yoyote. Mazungumzo hayo yataendelea leo Jumatano.
--------------------------------------------------------------------