EU kutoa msaada wa kibinaadamu wa dola milioni 96 kwa DRC
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 14:27 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Europe
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hayo yameelezwa jana na Kamishna Mkuu wa Umoja huo anayehusika na migogoro Hadja Lahbib ambaye yuko ziarani katika eneo hilo huku akisisitiza kuwa raia wa mashariki mwa DRC wamenaswa katika madhila ya vita, njaa na ukimbizi na kwamba wanataabika kupata huduma za mzingi.
--------------------------------------------------------------------