Iran yaufunga Mlango Bahari wa Hormuz
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 21:14 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tangu Marekani kuanzisha vitisho vya kuishambulia Iran, hii ni mara ya kwanza kwa Tehran kutangaza kufungwa kwa Mlango Bahari wa Hormuz ambayo ni njia muhimu ya kimataifa inayotumiwa kusafirisha asilimia 20 ya mafuta yanayotumiwa kote duniani.
--------------------------------------------------------------------