Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu kuanza Jumatano
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 14:23 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Nchi mbalimbali za Kiislamu zimethibitisha kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa mwaka huu wa 2026 umeanza rasmi leo Jumatano tarehe 18 Februari, baada ya kuonekana kwa mwezi mwandamo.
--------------------------------------------------------------------