Pretoria inajenga ukaribu zaidi na Beijing kuliko Marekani
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 01:01 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa, Asia, China, US Politics, Asia Pacific
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Hadi mwaka 2008, Marekani ilikuwa mshirika mkuu wa biashara wa Afrika Kusini — kabla ya China kuipiku, na kufikia kiwango cha biashara ya pande mbili cha dola bilioni 52.5 (€ bilioni 44.25) mwaka 2024.
--------------------------------------------------------------------