Njaa, majeraha ni mateso kwa watoto wa Sudan Kusini
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 01:53 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Tangu mwezi Desemba, mamia ya maelfu ya watu wamekimbia makazi yao kufuatia mapigano kati ya majeshi yanayomuunga mkono Rais Salva Kiir na yale yanayomtii makamu wake wa zamani Riek Machar. Kutoka jimbo la Jonglei, simulizi za wakimbizi zinaonyesha taswira ya mateso, njaa na kukata tamaa.
--------------------------------------------------------------------