Jesse Jackson, mrithi wa Martin Luther King, afariki dunia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-18 00:44 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Africa
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Mchungaji Jesse Jackson, kiongozi mashuhuri wa haki za kiraia nchini Marekani na mrithi wa harakati za Martin Luther King Jr., amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 84. Kifo chake kilithibitishwa na binti yake, Santita Jackson, ambaye alisema baba yake alifariki nyumbani akiwa amezungukwa na familia.
--------------------------------------------------------------------