Marekani yaapa kuizuia Iran kutengeneza silaha za nyuklia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 03:03 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Europe, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Waziri wa Nishati wa Marekani Chris Wright amesema kuwa Rais Donald Trump "anaamini kabisa kwamba Iran haiwezi kuruhusiwa kuwa na silaha za nyuklia,". Wright aliwaambia waandishi wa habari mjini Paris pembezoni mwa mikutano ya Shirika la Nishati la Kimataifa kwamba Wairan wameweka wazi kile wanachoweza kukifanya kwa kutumia silaha za nyuklia na hilo halikubaliki.
--------------------------------------------------------------------