Iran: Hakuna anayeweza kutunyima haki ya nishati ya nyuklia
--------------------------------------------------------------------
Source: Deutsche Welle
Published: 2026-02-19 21:39 UTC+10:00
Section: General
Factuality Score: 100
Opinion Category: Neutral
Topics: Middle East, Africa, Iran, US Politics
--------------------------------------------------------------------
Snippet:
Ameyasema hayo baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kudokeza tena kuchukua hatua za kijeshi kufuatia mazungumzo huko Geneva. Eslami amesema msingi wa sekta ya nyuklia ni urutubishaji na kwamba chochote unachotaka kufanya katika mchakato wa nyuklia, unahitaji nishati ya nyuklia". Ameongeza kuwa mpango wa nyuklia wa Iran unaendelea kwa kuzingatia sheria za Shirika la Kimataifa la Nishati la Atomiki - IAEA.
--------------------------------------------------------------------